CCM bado haina 'presidential material'

CCM bado haina 'presidential material'

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
6,140
Reaction score
18,004
Nasajili ukweli wangu leo. Nimekuwa chamani, CCM kwa miongo kadhaa. Nimewajua watu,vitu na sehemu mbalimbali. Presidential material si mtu mmoja. Ni mfumo ambao ndio utakaochukua hatamu. Kama ulivyo Urais wenyewe ulivyo si binafsi,mgombea si binafsi. Ndani ya CCM kwasasa hakuna.

Mfumo huwa na malengo yafananayo. Ndani ya CCM,kila mtajwa kawa mgombea mtarajiwa ana wafuasi maslahi tu wenye maslahi tofauti. Wanapelekeshwa na haja zao na si hoja zao. Mawazo na malengo tofauti hayajengi mfumo. Kukosekana mfumo thabiti ni kukosekana presidential material.

Nasema,bado hakuna mwenye mfumo wa kuwa Rais ndani ya CCM na hivyo mwenye sifa hayupo. Vyombo vya habari vitatumika kupamba na kuremba. Lakini,hakuna mwenye sifa. Pesa na hisa vitatumika kisiasa na kwa mikasa.Watanzania watalishwa kasa wasipokuwa makini.

Mzee Tupatupa wa Lumumba (sasa Ruvuma)
 
Hahahaha naona umewaamulia wenzako kwelikweli week hii, au unayoyakuta huko kwenye ziara zake yanakukatisha tamaa..
 
Wapo wengi sana hawa unaowaona hawa wanasifa za kuwa wagombea urais na kuchaguliwa kuongoza tanzania.
 
Nasajili ukweli wangu leo. Nimekuwa chamani, CCM kwa miongo kadhaa. Nimewajua watu,vitu na sehemu mbalimbali. Presidential material si mtu mmoja. Ni mfumo ambao ndio utakaochukua hatamu. Kama ulivyo Urais wenyewe ulivyo si binafsi,mgombea si binafsi. Ndani ya CCM kwasasa hakuna.

Mfumo huwa na malengo yafananayo. Ndani ya CCM,kila mtajwa kawa mgombea mtarajiwa ana wafuasi maslahi tu wenye maslahi tofauti. Wanapelekeshwa na haja zao na si hoja zao. Mawazo na malengo tofauti hayajengi mfumo. Kukosekana mfumo thabiti ni kukosekana presidential material.

Nasema,bado hakuna mwenye mfumo wa kuwa Rais ndani ya CCM na hivyo mwenye sifa hayupo. Vyombo vya habari vitatumika kupamba na kuremba. Lakini,hakuna mwenye sifa. Pesa na hisa vitatumika kisiasa na kwa mikasa.Watanzania watalishwa kasa wasipokuwa makini.

Mzee Tupatupa wa Lumumba (sasa Ruvuma)
Wengine hawa hapa wote hawa wanasifa za kuwa viongozi siyo kama vile vipusa vya chagadema.
 
Wana CCM kama nyie tunawahitaji sana katika kipindi hiki cha uongozi kazi na maslahi......... ila kuna uwezekano mkubwa CCM mkatuibulia aliejificha na asiyejulikana sana kama Mh. Mkapa 95' he wasn't too good but he worth it.
 
Mwaka huu wewe VUTA NIKUVUTE pamoja na WARIOBA lazima mfukuzwe CCM kwa kwenda kinyume na msimamo wa chama.
 
Nasajili ukweli wangu leo. Nimekuwa chamani, CCM kwa miongo kadhaa. Nimewajua watu,vitu na sehemu mbalimbali. Presidential material si mtu mmoja. Ni mfumo ambao ndio utakaochukua hatamu. Kama ulivyo Urais wenyewe ulivyo si binafsi,mgombea si binafsi. Ndani ya CCM kwasasa hakuna.

Mfumo huwa na malengo yafananayo. Ndani ya CCM,kila mtajwa kawa mgombea mtarajiwa ana wafuasi maslahi tu wenye maslahi tofauti. Wanapelekeshwa na haja zao na si hoja zao. Mawazo na malengo tofauti hayajengi mfumo. Kukosekana mfumo thabiti ni kukosekana presidential material.

Nasema,bado hakuna mwenye mfumo wa kuwa Rais ndani ya CCM na hivyo mwenye sifa hayupo. Vyombo vya habari vitatumika kupamba na kuremba. Lakini,hakuna mwenye sifa. Pesa na hisa vitatumika kisiasa na kwa mikasa.Watanzania watalishwa kasa wasipokuwa makini.

Mzee Tupatupa wa Lumumba (sasa Ruvuma)

Usipokuwa mdokozi/mwizi/fisadi/kibaka ndani hili li chama la manyang'au huwezi kuteuliwa. kama ni uongo mwambie WARIOBA pamoja na kuwa mwadilifu agombee na richmond uone kama atapitishwa. richmond lazima apite ili akadokoe wagawane na wenzi wenzie
 
Hahahahahaaaaa ccm wanajijua wenyewe akili zao na matendo yao yote yanafanana. Sijui kwanini wezi hukaa sehemu moja...
 
Wapo wengi sana hawa unaowaona hawa wanasifa za kuwa wagombea urais na kuchaguliwa kuongoza tanzania.

Umeshindwa kuiona hoja ya mzee Tupatupa ambayo iko wazi kabisa? Ndio maana tunasema watetezi wa CCM uono wenu wa mambo ni wa mashaka sana. Hebu rudi na msome tena na kama hujaelewa rudi hapa na sema sijaelewa utapata msaada.
Kwa vile nyie kadhaa huwa mnafahamika kama wasemaji wa chama basi hoja zenu wakati mwingine zinadharaulisha chama na kuonekana cha hovyohovyo tuu.
 
Wengine hawa hapa wote hawa wanasifa za kuwa viongozi siyo kama vile vipusa vya chagadema.

Huyu kama ndiyo 'Presidential material" basi tunataka kutengeneza taifa lenye matusi,mipasho nk.....Hata kama mwanamke mwenzangu na nikapewa pesa za escrow zote bado kura yangu hapati.
 
Fredrick Tluway Sumaye Anatosha
Nasajili ukweli wangu leo. Nimekuwa chamani, CCM kwa miongo kadhaa. Nimewajua watu,vitu na sehemu mbalimbali. Presidential material si mtu mmoja. Ni mfumo ambao ndio utakaochukua hatamu. Kama ulivyo Urais wenyewe ulivyo si binafsi,mgombea si binafsi. Ndani ya CCM kwasasa hakuna.

Mfumo huwa na malengo yafananayo. Ndani ya CCM,kila mtajwa kawa mgombea mtarajiwa ana wafuasi maslahi tu wenye maslahi tofauti. Wanapelekeshwa na haja zao na si hoja zao. Mawazo na malengo tofauti hayajengi mfumo. Kukosekana mfumo thabiti ni kukosekana presidential material.

Nasema,bado hakuna mwenye mfumo wa kuwa Rais ndani ya CCM na hivyo mwenye sifa hayupo. Vyombo vya habari vitatumika kupamba na kuremba. Lakini,hakuna mwenye sifa. Pesa na hisa vitatumika kisiasa na kwa mikasa.Watanzania watalishwa kasa wasipokuwa makini.

Mzee Tupatupa wa Lumumba (sasa Ruvuma)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom