Ni kweli maana walioko ccm ni wasafi na Mali wanazomiliki ni halali. lakini watakapohamia upinzani tu utasikia vikwazo rukuki dhidi yao, Mara wana mashamba hawayaendelezi, Mara wamevamia maeneo ... pengine hata tuhuma za matumizi mabaya ya ofisi zitaibuka wakati huo.