Cmm Arusha imegawa sh. Milion 42 kila kata itakayogombewa udiwani,hizi kazi yake kulaanisha wapiga kura,chanzo mimi mwenyewe niko kwenye kamati ya kampeni ya watu 10 upande wa ccm.
Duh namimi nije basi kupata afu nigawe nusu kwa Makamanda,Yegella wapi iyo? Mi nipo Njiro
njoo kata ya themi kamanda, mambo yanafanyika usiku kwa usiku.
Kwani wenyewe wanasema ni za nini?
Ramba pesa CCM kura CDM