CCM Arusha wameanza kampeni Arusha

CCM Arusha wameanza kampeni Arusha

Chademakwanza

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2014
Posts
6,346
Reaction score
1,872
Hayo yanaendelea kwenye Jiji la Arusha CCM ngazi ya Ubunge kuanza Kampeni

CHADEMA KWANZA
~~~~~~~~~~~~~~
 
Hivi kweli matangazo ya Mollel na mhindi wa Bushbuck yanakutisha,kwanza tangu lini umeanza kuifananisha Arusha na Morogoro.Umewahi kusikia mhindi kashinda hata nafasi ya udiwani ?.
 
Umma utawahukumu CCM kulea mafisadi tunaowapa sala ya toba Chadema
 
Hivi kweli matangazo ya Mollel na mhindi wa Bushbuck yanakutisha,kwanza tangu lini umeanza kuifananisha Arusha na Morogoro.Umewahi kusikia mhindi kashinda hata nafasi ya udiwani ?.

Halaf hiki sio kipindi cha kulalamika, ni JINO kwa JINO na JICHO kwa JICHO,
MHINDI arusha kupata nafasi hata ya ujumbe mtaa ni sawa na PADRI ahubiri injiki mitaani huko SAUDIA, labda huko maeneo ya njiro, huwezi jua
 
Hivi kweli matangazo ya Mollel na mhindi wa Bushbuck yanakutisha,kwanza tangu lini umeanza kuifananisha Arusha na Morogoro.Umewahi kusikia mhindi kashinda hata nafasi ya udiwani ?.

Diwani wa Lemara aliwahi kuwa mhindi
 
Mimi piga peni kila mahali Arusha zima ote lazima jua Pandu
 

Attachments

  • 1438265177054.jpg
    1438265177054.jpg
    53.5 KB · Views: 118
mkuu ccm ndio mwisho wao acha watapetape na kuweweseka hao wanajisumbua bure na mabango yao
 
Back
Top Bottom