Juzi ktk kituo cha kupiga kura ktk shule ya msingi Themi wakati wa kupiga kura tulimkuta kada wa ccm na green guards wakimlinda mzee mmoja anayesadikiwa ni gagula ambapo ktk njia panda husika mzee uyo alionekana akifanya mambo ya ajabu kama kupasua nazi na kunuwia maneno fulani yasiyoeleweka wakiamini kuwa ccm huenda ingeshinda kwa uchawi lakini ikwa ndivyo sivyo.