Kizzy Wizzy JF-Expert Member Aug 2, 2013 3,280 3,776 Oct 19, 2015 #2 Chama Cha MaGraphicDesigner CCM.
F Firigisi Member Feb 13, 2009 91 33 Oct 20, 2015 Thread starter #3 Kizzy Wizzy said: Chama Cha MaGraphicDesigner CCM. Click to expand... Scott Thomas alikuwa graphic designer kwenye media team ya Obama wakati wa campaign , kuna tatizo!? Kampeni ni kujipanga, ki tekinolojia zaidi!
Kizzy Wizzy said: Chama Cha MaGraphicDesigner CCM. Click to expand... Scott Thomas alikuwa graphic designer kwenye media team ya Obama wakati wa campaign , kuna tatizo!? Kampeni ni kujipanga, ki tekinolojia zaidi!
Kizzy Wizzy JF-Expert Member Aug 2, 2013 3,280 3,776 Oct 20, 2015 #4 Firigisi said: Scott Thomas alikuwa graphic designer kwenye media team ya Obama wakati wa campaign , kuna tatizo!? Kampeni ni kujipanga, ki tekinolojia zaidi! Click to expand... Wamebase sana huko kuliko kwenye kuwatumikia wananchi...
Firigisi said: Scott Thomas alikuwa graphic designer kwenye media team ya Obama wakati wa campaign , kuna tatizo!? Kampeni ni kujipanga, ki tekinolojia zaidi! Click to expand... Wamebase sana huko kuliko kwenye kuwatumikia wananchi...
jingalao JF-Expert Member Oct 12, 2011 35,053 28,245 Oct 20, 2015 #5 Kizzy Wizzy said: Wamebase sana huko kuliko kwenye kuwatumikia wananchi... Click to expand... Mbowe,lema na Mnyika wamewatumikia wananchi?
Kizzy Wizzy said: Wamebase sana huko kuliko kwenye kuwatumikia wananchi... Click to expand... Mbowe,lema na Mnyika wamewatumikia wananchi?
Kizzy Wizzy JF-Expert Member Aug 2, 2013 3,280 3,776 Oct 20, 2015 #6 jingalao said: Mbowe,lema na Mnyika wamewatumikia wananchi? Click to expand... Kuendeleza kwao vita dhidi ya ufisadi na kuwawajibisha mafisadi ni mojawapo ya kuwatumikia wananchi..
jingalao said: Mbowe,lema na Mnyika wamewatumikia wananchi? Click to expand... Kuendeleza kwao vita dhidi ya ufisadi na kuwawajibisha mafisadi ni mojawapo ya kuwatumikia wananchi..
timetoloveyourself JF-Expert Member Mar 24, 2015 206 206 Oct 20, 2015 #7 Kizzy Wizzy said: Kuendeleza kwao vita dhidi ya ufisadi na kuwawajibisha mafisadi ni mojawapo ya kuwatumikia wananchi.. Click to expand... Mafisadi ambao baada ya kuhamia chadema wamekuwa sio mafisadi tena? Yoyote anaitwa fisadi akiwa ccm akiwa ukawa mtakatifu. Kwa wanaoshtuka wameshagundua hila hizi.
Kizzy Wizzy said: Kuendeleza kwao vita dhidi ya ufisadi na kuwawajibisha mafisadi ni mojawapo ya kuwatumikia wananchi.. Click to expand... Mafisadi ambao baada ya kuhamia chadema wamekuwa sio mafisadi tena? Yoyote anaitwa fisadi akiwa ccm akiwa ukawa mtakatifu. Kwa wanaoshtuka wameshagundua hila hizi.