CCM against all odds

Scott Thomas alikuwa graphic designer kwenye media team ya Obama wakati wa campaign , kuna tatizo!?
Kampeni ni kujipanga, ki tekinolojia zaidi!

Wamebase sana huko kuliko kwenye kuwatumikia wananchi...
 
Kuendeleza kwao vita dhidi ya ufisadi na kuwawajibisha mafisadi ni mojawapo ya kuwatumikia wananchi..

Mafisadi ambao baada ya kuhamia chadema wamekuwa sio mafisadi tena?
Yoyote anaitwa fisadi akiwa ccm akiwa ukawa mtakatifu.
Kwa wanaoshtuka wameshagundua hila hizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…