masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,410
- 14,120
Siasa za Tanzania zinabadilika kwa kasi ya kutisha.
Waliokuwa ndugu na marafiki sasa ni mahasimu wakubwa.
Natoa rai tu kama mtazania mwenye mapenzi mema na nchi hii.
CCM A na CCM B wanazijua fika siri za Taifa hili isijetokea mchele ukamwagwa mbele ya kuku wengi na Taifa likaangamia.
Ni ushauri tu.
Waliokuwa ndugu na marafiki sasa ni mahasimu wakubwa.
Natoa rai tu kama mtazania mwenye mapenzi mema na nchi hii.
CCM A na CCM B wanazijua fika siri za Taifa hili isijetokea mchele ukamwagwa mbele ya kuku wengi na Taifa likaangamia.
Ni ushauri tu.