Baada ya kukamilisha safu ya uongozi wa mkoa wa Arusha,CCK inatangaza rasmi kuwa tunaingia katika uchaguzi mdogo wa Arumeru kwa ajili ya kuchukua jimbo.
Mbona mlikuwa kimya sana kwani mlikuwa wapi? Na mnaingia Arusha nani mgombea wenu? na mwisho kabisa hiyo safu yenu ya uongozi tujulisheni ni akina nani?
tunachokitaka hapa arusha ni siasa za kistaarabu na kampeni tulivu,malumbano hapa hayana nafasi make chadema washatuchosha na maandamano ya kutwa mara tatu!
tunachokitaka hapa arusha ni siasa za kistaarabu na kampeni tulivu,malumbano hapa hayana nafasi make chadema washatuchosha na maandamano ya kutwa mara tatu!
CCK kama cha cha siasa wana haki ya kuweka mgombea Arumeru, wangekaa meza moja na Chadema waweke mgombea mmoja, kila mmoja akiingia kivyake watagawa kura na hatimaye CCM wanashinda.
CCK kama cha cha siasa wana haki ya kuweka mgombea Arumeru, wangekaa meza moja na Chadema waweke mgombea mmoja, kila mmoja akiingia kivyake watagawa kura na hatimaye CCM wanashinda.
Ndugu sema ume SIO tumeichoka na CHADEMA. Serikali ilitaka mchakato wa katiba wauteke wao, kama sio chama makini (CDM) hata hayo mabadiliko madogo yasingekuwepo. Pamoja na kwamba mabadiliko sio makubwa ila yale ya msingi yamerekebishwa
Angalia:
1. Wajumbe wa kamati ya kuratibu maoni watateuliwa/ kupendekezwa na wanakotoka; tofauti na mwanzo
2. Wadau wataweza kutoa elimu ya mabadiliko ya katiba tofauti na mwanzo
3. Msimamizi wa mchakato katika mkoa atakuwa Mkurugenzi na Mkuu wa wilaya
N.K, N.K, N.K
CCK kama cha cha siasa wana haki ya kuweka mgombea Arumeru, wangekaa meza moja na Chadema waweke mgombea mmoja, kila mmoja akiingia kivyake watagawa kura na hatimaye CCM wanashinda.