Uhuru wa kuwa mwanachama wa chama husika hautokuwepo hivyo kupelekea democrasia kudidimizwa kwa wanachama kushindwa kumpigia kura mgombea wa chama husika.
Uhuru wa kuwa mwanachama wa chama husika hautokuwepo hivyo kupelekea democrasia kudidimizwa kwa wanachama kushindwa kumpigia kura mgombea wa chama husika.
Nadhani chama chenye sera zinazoendana kipo,ni suala la viongozi wa CCJ kujipanga na kuangalia uwezekano huo. Tatizo mojawapo la vyama vyetu ni suala la umimi,kila chama kitataka kuwa na mgombea wake.