Kiminyio 01
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 1,399
- 2,035
habarini wana jamvi mdogo wangu anaufaulu wa Chemistry {c} Biology{C} na geography{C} je kozi ipi ya afya anaweza kusomea katika kada ya afya kwa level ya certificate. na ajira yake ikoje?
Tunasema msome pcb mnasema phy ngumu, mtu kama huyu asinge kosa walau D ya phy!!habarini wana jamvi mdogo wangu anaufaulu wa Chemistry {c} Biology{C} na geography{C} je kozi ipi ya afya anaweza kusomea katika kada ya afya kwa level ya certificate. na ajira yake ikoje?
Tunasema msome pcb mnasema phy ngumu, mtu kama huyu asinge kosa walau D ya phy!!
Anyways, md na pham ni ngumu, ajaribu unesi na ukunga.
Ikishindikana na kama ana kichwa chepesi mwambie akasome veterinary medicine ya SUA.
Nadhan hii ndio the best option kwa cbg kwenye ajira na kujiajiri.
udahili ushafunguliwa toka tarehe 15 mkuu mtafutie DIPLOMA IN PHARMACY anapata mapema sanani kidato cha nne
habarini wana jamvi mdogo wangu anaufaulu wa Chemistry {c} Biology{C} na geography{C} je kozi ipi ya afya anaweza kusomea katika kada ya afya kwa level ya certificate. na ajira yake ikoje?
Phamacy anaenda diploma hata CO
kwa ngazi ya degree anaweza kusomea MD?
kuhusu soko la ajira kwa pharmacy?lipojeSijajua labda vyuo vya private
kuhusu soko la ajira kwa pharmacy?lipoje
Hata unesi na ukunga CBG hasomiTunasema msome pcb mnasema phy ngumu, mtu kama huyu asinge kosa walau D ya phy!!
Anyways, md na pham ni ngumu, ajaribu unesi na ukunga.
Ikishindikana na kama ana kichwa chepesi mwambie akasome veterinary medicine ya SUA.
Nadhan hii ndio the best option kwa cbg kwenye ajira na kujiajiri.
Hata unesi na ukunga CBG hasomi
masuala ya Chanjo za wanyama na mimea lakin sio binadamu.anaweza kusomea nini?mbal na ulizotaja
Acha kuwaza ajira za kuajiriwa kwasababu sio watu wote wataajiriwa. Kumbuka kuna Wasomi wengi mitaani hawana ajira. Miaka michache nyuma ualimu ilionekana kuwa na ajira nyingi Ila sasahivi hakuna ajir a. Mfundishe mdogo wako kujitegemea bila ajira ya serikalini au mashirika .habarini wana jamvi mdogo wangu anaufaulu wa Chemistry {c} Biology{C} na geography{C} je kozi ipi ya afya anaweza kusomea katika kada ya afya kwa level ya certificate. na ajira yake ikoje?
Naam sahihiAcha kuwaza ajira za kuajiriwa kwasababu sio watu wote wataajiriwa. Kumbuka kuna Wasomi wengi mitaani hawana ajira. Miaka michache nyuma ualimu ilionekana kuwa na ajira nyingi Ila sasahivi hakuna ajir a. Mfundishe mdogo wako kujitegemea bila ajira ya serikalini au mashirika .
Siku nyingine unapo andika andika habari iliyo kamilika sio unaandika tu kama unakimbizwa. Sisi tunajua na form6 kumbe form 4, toa maelezo yaliyo kamilika acha uvivu.physics ana D lakini PCB aiwezekani TCU wanamtolea nje