Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,801
- 43,177
- Thread starter
-
- #121
Wewe nye.ge zinakusumbua.
Kuna hoja gani hapo kwenye hicho kihadithi chako.
Naona umekariri kwamba wanaume wote wakishakojoa zinalala. Hivyo vibabu vilivyochoka ndo vikishakukojolea vinalala, upo hapo?? uchamp wenyewe wa kujitwika!!!
Nyege sio ugonjwa kila mtu anazipata ambaye hapati nyege atakuwa na matatizo awahi hospitali. Akili yanguinafanya kazi nyingi sana kwa wakati mmoja, hivo nyege zipo ila hazisimamishi shughuli nyingine kuendelea.
Hadithi hujibiwa kwa hadithi na sio kejeli au matusi, hata kama ni kukososa si kwa kejeli huo ndo uungwana, Wako wengi tuu ambao hawajafurahishwa na huu usi wengi sana na wengine baada ya kuufungua na kuusoma walisonya kwa kupoteza MB data zao kwa kufungua huu uzi maana zimeenda bure na kuudelete moja kwa moja. Na wengine wamesoma na kurudi kwenye siasa na kuona Kasie anawapotezea muda, huo ni uungwana.
Wanaoshindwa kujizuia na kukomenti basi hujikuta wanajibu habari tofauti na inayojadiliwa hapa, waweza ona mtu anajadili mpira au matokeo ya uchaguzi hapa, huyo ujue amakerwa na uzi huu, hii pia ni uungwana si sawa na anayekejeli au kutukana mwishowe kila anayekusoma anakuona wewe ndo bozo, next time usifanye hivo.
Kwenye uzoefu unaokuhusu moja kwa moja sibishi maana wewe ndo mhusika unajua ukishakojoa nini kinafuata, vibabu au vibibi achana navyo we jizungumzie wewe, one day in a life utazeeka na utakuywa kama hao wazee unaowasema labda ufe ungali kijana.
Nipo hapahapa sijabadilika na wala sibadiliki, am another champ whether you like it or not.
Kasie.