Catch me if you can boy

Complete unconscionability. 40 years my foot. You are such an alien. Try to recover the 40+ years you've lost since you came in this planet earth.

I told you before am another champ more than an alien. All you are saying are repetition to Kasie. Was wawili wanasema huna jipya Pole kwa kujichosha
 

sasa wewe ulikuwa unaendesha kirikuu huyo jamaa alikuwa na land rover 109(breakdown) kwa nn usimpite!
 
The way nilivo mbishi, tunaweza anzia hapo hapo mwanzo wa Ali Hassan Mwinyi road tufanye jogging hadi mbuyuni na kurudi, still najua huwezi kunikamata.

Unaonekana una mbio sana, unaonaje tukufanyie mpango wa olympic
 
Kakojoe ulale

Kumbe na wewe huna tofauti na kiongozi wako kazi kutukana kwenye majukwaa badala ya kusema hoja na kujadili, jibu hoja kwa hoja sio hoja kwa tusi. Ulianza vizuri kwa hoja iweje umalize kwa kejeli, hoja zimekushinda?
Naendelea kurudia na kurudia, Kasie is another champ, you have tried with all your energy to change Kasie's mind and be as you think is right, I warned you before you did not want to hear and proceed.

Ona sasa kati ya mwanamke na mwanaume, nani huwa akishakojoa inalala......................... hehehehheheeeee
Poleeeeee. Try somewhere else I told you, you can't catch me looh.
Kasie.
 
mi habar za kukimbizana na magari cwezi bt kwa migegedo ka uko tayar njoo tukimbizane

Car race ndo mpango mzima. Nikihamia kuendesha manual nahisi ntafurahia zaidi driving.
 
Hahahaha hivi ushawahi kwenda yale mashindano ya gari Arusha?

Nooh yale ya vile hapana, nataka barabara ya lami isiyo na matuta, mwendo ni fyuuuuuu
 
Unaonekana una mbio sana, unaonaje tukufanyie mpango wa olympic

Nop, siko kimashindano, am doing things for fun. Nafanya jogging kwa afya, naendesha gari kwa starehe ndo maisha ninayoishi maana sina mtoto, sina mume, nina kazi naingiza hela raha najipa mwenyewe
 
sasa wewe ulikuwa unaendesha kirikuu huyo jamaa alikuwa na land rover 109(breakdown) kwa nn usimpite!

Hahahahahaa haikuwa hivyoo, he was driving mark x mie hatchback car.
 
I dare you,
Let's have a date this week-end.

Sharti lake tuanaanzia hapa makutano ya bibi titi road na ali hassan mwinyi road. Ndo walau barabara ambayo haina matuta.
 
Wewe nye.ge zinakusumbua.

Kuna hoja gani hapo kwenye hicho kihadithi chako.

Naona umekariri kwamba wanaume wote wakishakojoa zinalala. Hivyo vibabu vilivyochoka ndo vikishakukojolea vinalala, upo hapo?? uchamp wenyewe wa kujitwika!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…