Carpet used inauzwa

Carpet used inauzwa

Hiyo sio carpet ya home kwenu...!! Carpet imekaa geto hiyo hakuna kukanyaga ovyoo na miguu michafu kama la familia ya watoto wa la pili.. Mlikuwa mnamwaga na michuzi ya samaki plus mafuta ndo maana.. Hili langu hata ukipitisha mfagio linawakaa mzee
Chief pitisha hilo fagio tuone linawakaje. Nalihitaji hili kapeti aisee
 
Nalihitaji kwa 50,000 nalifuata kwa bajaji yangu ila angepitisha fagio nione kama linasafishika ingependeza sana
Kwa picha linaonekana zuri bado. Home yapo mawili store uko. Siyapendi kuliko maelezo sitaki hata kujua nani kayafanyia nini.
 
Wewe huwezi nunua watu wanauza mpaka makopo unashangaa Carpet...!! Karibu Dar mdogo wangu[emoji23]
Hee jaman yaani Hadi kapeti liliotumika mnauza? Huwezi kutafuta ata ndugu YAKO mwenyekiti kuhitaji kapeti ukampa? Mmmh hatari
 
Wewe huwezi nunua watu wanauza mpaka makopo unashangaa Carpet...!! Karibu Dar mdogo wangu[emoji23]
Yaan ungejua nimezaliwa Dar na sijawah kuushi nje ya jiji la Dsn na sitegemeu Tena kutoka nje ya jiji la Dar kuishi
Najua Sana kwamba Hadi makopo yanauzwa na Wala sijaahangaaa
Ila tujifunze tu kugawa vitu vingine kitu Kama kapeti lililotumika Tena chafu unalitengenezea tangazo
Khaaa
 
Kapeti ni zuri na linasafishika kirahisi.
Tatizo la kapeti nyingine watu wanamwagia shahawa ndio unakuwa mtihani kwenye kusafisha.))
 
Hiyo sio carpet ya home kwenu...!! Carpet imekaa geto hiyo hakuna kukanyaga ovyoo na miguu michafu kama la familia ya watoto wa la pili.. Mlikuwa mnamwaga na michuzi ya samaki plus mafuta ndo maana.. Hili langu hata ukipitisha mfagio linawaka mzee

Kama linawaka chunga litaunguza nyumba!
 
Unipe bure na hela juu yake, hilo zulia sichukui walahi!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom