Mkuu unaweza weka more pictures za ndan pia
Mtoa mada hauko serious, Gari inapigwa picha pande zote, na ndani. then unatoa specification zilizojitosheleza.
Mpaka leo haijapata mteja?
Mbona kama nakumbuka iliisha postiwa hii mkuu.
TI ya enzi za Mwalim.
Hembu weka picha zandani labda naweza kuiweka Texii nikawa nakula 50,000 zangu kwa wiki
Hapana mkuu sio hiyo uliyoiona hii ni nyingine kabisa
Sent from my iPhone 4S using JamiiForums