car rental biz

duara

Member
Joined
Nov 17, 2008
Posts
28
Reaction score
6
wadau,
Naomba maujuzi(legal requirements ) na baadhi ya details kwa wenye ufahamu juu ya biashara hii..ningependa kujua mara baada ya kusajiliwa brela kampuni yangu/frm natakiwa kujisajili na board gani pia ili kuwa na uhalali wa kufanya car rental services..
Naomba kujuzwa wadau..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…