Cant LOVE any other GIRL in the same way.

Cant LOVE any other GIRL in the same way.

Bwebwe hizi kila siku tunasikia, wanaume wangapi wanatoa michozi wakisha oa ni kupiga tuu wake zao? Wanaume ni waongo sana na wanapenda movie kama jeshi la police...

Mwanaume anaye kupenda kweli si rahisi kumgundua pia ni wachache sio kama watoa michozi na wanajifanya vichaa..
 
Bwebwe hizi kila siku tunasikia, wanaume wangapi wanatoa michozi wakisha oa ni kupiga tuu wake zao? Wanaume ni waongo sana na wanapenda movie kama jeshi la police...

Mwanaume anaye kupenda kweli si rahisi kumgundua () pia ni wachache sio kama watoa michozi na wanajifanya vichaa..

Kweli kabisa.
 
Bwebwe hizi kila siku tunasikia, wanaume wangapi wanatoa michozi wakisha oa ni kupiga tuu wake zao? Wanaume ni waongo sana na wanapenda movie kama jeshi la police...

Mwanaume anaye kupenda kweli si rahisi kumgundua () pia ni wachache sio kama watoa michozi na wanajifanya vichaa..

Kweli kabisa mkuu Tabutupu.
 
Love is just like a movie....
Tabutupu umesema ya ukweli ..
.
Uuuups they forget moyo wa mtu ni kama kichaka hujui ndani anakuwazia nni lol
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom