Mbona ipo poa tu...timu nyingi zilikuwa zikionewa kwa kukosekana uamuzi makinifu...
Sheria ya ajabu niliyopata kuiona na bora ilifutwa haraka ni ile ya goli la dhahabu daaah...(ingawaje niliipenda wakati mmoja tu ambapo Senegal ilimtwanga Denmark na kuichukia zaidi hatua iliyofuata kwa Turkey kuitoa Senegal...)