Sasa camera yake ya nini? Unaacha kuulizia watoto na mke wake wataishi vipi au wasaidiwe nn wewe unawaza camera ambayo hairudishi uhai wala nn? then hiyo camera itakusaidia nn ambacho hukujui au hujakiona. Si yote umeyaona kwenye picha na kuyasikia au kuna lingine jipya