Camera huwa zinaona visivyoonekana?

Camera huwa zinaona visivyoonekana?

moyochuma

Member
Joined
Oct 27, 2022
Posts
27
Reaction score
34
Wakuu nina swali hapa, juzi Kati nilikua nimechil zangu nisema ngoja nitupie picha. Sasa nimeshindwa kuelewa kabisa wakati naangaika kujipiga, nikaona kama inashek shek hivi yaani nikama zile TV za tamani unakuta kama network inapotea, ni kama mawimbi upande mmoja usoni hii ipoje wakuu au nikawaida kutoea
 
Wakuu Nina swali hapa, juzi Kati nilikua nmechil zangu nisema ngoja nitupie picha...sasa nimeshindwa kuelewa kabisa wakati naangaika kujipiga, nikaona kama inashek shek iv yaani nikama zile TV za tamani unakuta kama network inapotea, ni kama mawimbi upande mmoja usoni hii ipoje wakuu au nikawaida kutoea

Kwahiyo ukajua ni jini au?
 
Wakuu Nina swali hapa, juzi Kati nilikua nmechil zangu nisema ngoja nitupie picha...sasa nimeshindwa kuelewa kabisa wakati naangaika kujipiga, nikaona kama inashek shek iv yaani nikama zile TV za tamani unakuta kama network inapotea, ni kama mawimbi upande mmoja usoni hii ipoje wakuu au nikawaida kutoea

Vitu visivyo onekana ni vingi mkuu,

Hebu jenga hoja vizuri unamaanisha hewa, vijidudu vidogo sana au unamaanisha vitu vya kusaikika kama malaika, majini, na wafu?

Kama unamaanisha vya kusadikika nahakika kweny tv wakati tunaangalia mipira, au matukio mengine mengi tungeona haya madude mara nyingi sana
 
Back
Top Bottom