Wadau habari.?nimepigiwa simu kuitwa kwenye usahili HR SOLUTION,nafasi ya Senior Administrative Officer.
Tafadhari naomba details ya hii company na status yake in payment/compensation and other social welbeing.
Na je hawa ni mawakala kama walivo Deloitte au?na kila nikipekuwa kwenye orodha ya company nilizoomba hakuna HR solution ,kidogo imeni confuse.
Tafadhari naomba details ya hii company na status yake in payment/compensation and other social welbeing.
Na je hawa ni mawakala kama walivo Deloitte au?na kila nikipekuwa kwenye orodha ya company nilizoomba hakuna HR solution ,kidogo imeni confuse.