CAG Ludovick Utoh, wapi ukaguzi wa CCM?

CAG Ludovick Utoh, wapi ukaguzi wa CCM?

Molemo

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2010
Posts
14,620
Reaction score
13,361
Sasa ni dhahiri mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali Ludovick Utoh amekubali kutumikia chama cha Mapinduzi - CCM

Ni jambo la kushangaza kwamba mdhibiti huyu amekagua mahesabu ya chama kikuu cha upinzani nchini CHADEMA lakini ameshindwa kabisa kukagua chama cha Mapinduzi CCM.

Wapenda haki demokrasia na utawala bora tunajiuliza maana yake ni nini?

Kwamba CCM iko juu ya sheria?

Kwamba mdhibiti na mkaguzi wa hesabu za serikali ana maslahi gani ndani ya CCM?

Kwamba labda kuna agenda ya siri nyuma ya ukaguzi wa mahesabu ya Chadema?

Tafakari....
 
Matumizi yamezidi mapato ya chama mpaka wanaona haya kuyaweka yakaguliwe na Zito kimya alipiga kelele akijua chadema hawatakaguliwa kumbe wafadhili wake ndio wanaumbuka.
 
Molemo vipi mkuu? Hivi kwa akili yako ulitegemea Ludovic Utoh angekagua mahesabu feki ya ccm iliyosababisha wizi mkubwa wa fedha za watanzania?

Hivi unategemea Mpuuzi Utuoh angetoa taarifa nzuri ya hesabu ya chadema? Chama ambacho kilidai mkaguzi akague hesabu za vyama?

Tutasubiri sana......

Usisahau kuwa Ludovic ni mteule wa mwenyekiti wa ccm
 
Basi mahesabu ya Lumumba hayakaguliwi yana buniwa tuu mchezo unaisha ndio maana range zinanunuliwa tuu kama njugu zinakua poa... Maishabora kwakila Mtanzania
 
Sasa ni dhahiri mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali Ludovick Utoh amekubali kutumikia chama cha Mapinduzi - CCM

Ni jambo la kushangaza kwamba mdhibiti huyu amekagua mahesabu ya chama kikuu cha upinzani nchini CHADEMA lakini ameshindwa kabisa kukagua chama cha Mapinduzi CCM.

Wapenda haki demokrasia na utawala bora tunajiuliza maana yake ni nini?

Kwamba CCM iko juu ya sheria?

Kwamba mdhibiti na mkaguzi wa hesabu za serikali ana maslahi gani ndani ya CCM?

Kwamba labda kuna agenda ya siri nyuma ya ukaguzi wa mahesabu ya Chadema?

Tafakari....

Mnahaha kuzuia maporomoko kwa vidole, mwaka huu mtaenda na kulima misukule nyie. Mmekamatika ripoti hiyo imewavua nguo na wizi wenu subirini tar 28 october, mtaninyea kabisa. Rudi vunjo ukalime maua unakomaa ufipa mwanaume mzima kusifia wanaume wenzio, kweli wewe msukule unaotembea
 
Mnahaha kuzuia maporomoko kwa vidole, mwaka huu mtaenda na kulima misukule nyie. Mmekamatika ripoti hiyo imewavua nguo na wizi wenu subirini tar 28 october, mtaninyea kabisa. Rudi vunjo ukalime maua unakomaa ufipa mwanaume mzima kusifia wanaume wenzio, kweli wewe msukule unaotembea
Duuuhhh.......kumbe ........
 
Molemo vipi mkuu? Hivi kwa akili yako ulitegemea Ludovic Utoh angekagua mahesabu feki ya ccm iliyosababisha wizi mkubwa wa fedha za watanzania?

Hivi unategemea Mpuuzi Utuoh angetoa taarifa nzuri ya hesabu ya chadema? Chama ambacho kilidai mkaguzi akague hesabu za vyama?

Tutasubiri sana......

Usisahau kuwa Ludovic ni mteule wa mwenyekiti wa ccm

Usisahau pia ludovick utoh amestaafu utumishi wa hiyo ofisi, imebaki CAG as a title!
 
Mnahaha kuzuia maporomoko kwa vidole, mwaka huu mtaenda na kulima misukule nyie. Mmekamatika ripoti hiyo imewavua nguo na wizi wenu subirini tar 28 october, mtaninyea kabisa. Rudi vunjo ukalime maua unakomaa ufipa mwanaume mzima kusifia wanaume wenzio, kweli wewe msukule unaotembea

Wewe kweli boya..... mkakati wa ccm kupitia kwa CAG hauwezi kuwahadaa watanzania waliokwishajitambua. Mchezo wenu unafikia kikomo...
 
Tafakari bwana mdogo na soma uelewe......CAG amekagua hesabu za vyama vyote vilivyopokea ruzuku sio chadema yako pekee...na ukitaka kuziona ripoti za ukaguzi tembelea tovuti ya msajili wa vyama vya siasa au ya NAOT...acha ushabiki
Sasa ni dhahiri mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali Ludovick Utoh amekubali kutumikia chama cha Mapinduzi - CCM

Ni jambo la kushangaza kwamba mdhibiti huyu amekagua mahesabu ya chama kikuu cha upinzani nchini CHADEMA lakini ameshindwa kabisa kukagua chama cha Mapinduzi CCM.

Wapenda haki demokrasia na utawala bora tunajiuliza maana yake ni nini?

Kwamba CCM iko juu ya sheria?

Kwamba mdhibiti na mkaguzi wa hesabu za serikali ana maslahi gani ndani ya CCM?

Kwamba labda kuna agenda ya siri nyuma ya ukaguzi wa mahesabu ya Chadema?

Tafakari....
 
Wewe kweli boya..... mkakati wa ccm kupitia kwa CAG hauwezi kuwahadaa watanzania waliokwishajitambua. Mchezo wenu unafikia kikomo...

Kufikia kikomo ni kurejesha fedha za umma mlizogawana hapo ufipa. Tofauti na hapo jasho litawatoka haijarishi ni wakati wa baridi
 
Mnahaha kuzuia maporomoko kwa vidole, mwaka huu mtaenda na kulima misukule nyie. Mmekamatika ripoti hiyo imewavua nguo na wizi wenu subirini tar 28 october, mtaninyea kabisa. Rudi vunjo ukalime maua unakomaa ufipa mwanaume mzima kusifia wanaume wenzio, kweli wewe msukule unaotembea

Naona povu linakutoka bure,waambie magamba wapeleke mahesabu yao yakaguliwe.wasione aibu kutoa mchanganuo wa manunuzi ya kofia,kanga,tshirt,vilemba,gharama za kupika na kununua wali ili kuvutia wasikilizaji kwenye mikutano ya kinana,gharama za kununua shahada,gharama za mafuso,gharama za kutembea na fiesta au kili music ili kuvutia wasikilizaji kwenye mikutano na nk.
 
Naona povu linakutoka bure,waambie magamba wapeleke mahesabu yao yakaguliwe.wasione aibu kutoa mchanganuo wa manunuzi ya kofia,kanga,tshirt,vilemba,gharama za kupika na kununua wali ili kuvutia wasikilizaji kwenye mikutano ya kinana,gharama za kununua shahada,gharama za mafuso,gharama za kutembea na fiesta au kili music ili kuvutia wasikilizaji kwenye mikutano na nk.

Wewe ndio msukule kabisa, nadhani utakuwa umebakiwa na kumbukumbu ya kukupeleka chooni tu wakati wa haja kubwa. Umeonyesha ukame mkubwa sana wa maarifa kichwani mwako, kwahiyo waandishi wa habari ndio mliwaitia hicho? Kuwa ccm haijakaguliwa? Ila pamoja na kwamba kumbukumbu zako saiv zinakata, nadhani bado utakuwa unajua kusoma jambo kiswahili. Hebu nenda kwenye tovuti ya CAG usome uone muhtasari wake kwa vyama vya siasa, ambavyo amevikagua. Siku nyingine usilete mahaba ya kitoto hapa
 
Mkuu taarifa ipi hiyo unayoiongelea ?

Nimetembelea website ya CAG (National Audit Office of Tanzania) na kusearch lakini sijaona kitu zaidi ya taarifa za jumla kuhusu vyama vya siasa ambazo ziko kwenye report iliyotoka July....

Sehemu ya taarifa hiyo niliyoitoa ndani ya report hiyo ni hii hapa chini :

"......Kwa mara ya kwanza, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali ameanza kufanya ukaguzi wa Vyama vya Siasa hapa nchini kwa mujibu wa kifungu cha 14(1) cha sheria ya Vyama vya Siasa Na. 5 ya mwaka 1992. Wakati tunaandaa taarifa ya fedha ya mwaka ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa hesabu za Serikali kuu, zoezi hili lilikua bado linaendelea, hivyo taarifa hii fupi ni juu ya mambo ya jumla yaliyojitokeza hadi sasa......"

Report nzima ya vyama vya siasa vyote si zaidi ya page moja na haijataja Chama hata kimoja hapo kwa hiyo nadhani labda kutakuwa na report nyingine ambayo labda wewe uliiona hapo na sasa hivi haipo au mimi ndiye ambaye nimeshindwa kuipata !

Kwa hiyo ni vizuri ukiweka direct link ya hiyo report/information !

Wewe ndio msukule kabisa, nadhani utakuwa umebakiwa na kumbukumbu ya kukupeleka chooni tu wakati wa haja kubwa. Umeonyesha ukame mkubwa sana wa maarifa kichwani mwako, kwahiyo waandishi wa habari ndio mliwaitia hicho? Kuwa ccm haijakaguliwa? Ila pamoja na kwamba kumbukumbu zako saiv zinakata, nadhani bado utakuwa unajua kusoma jambo kiswahili. Hebu nenda kwenye tovuti ya CAG usome uone muhtasari wake kwa vyama vya siasa, ambavyo amevikagua. Siku nyingine usilete mahaba ya kitoto hapa
 
Mkuu nimetembelea na nimesearch hiyo website nimeona reports ambazo ndani yake kuna habari za jumla jumla tu kuhusu vyama vya siasa (information hiyo haizidi hata page moja). Ni information ya jumla ambayo ilishasemwa kwenye vyombo vya habari......

Hii unayoizungumzia hapa ni ipi ? Tusaidie kwa kuweka direct link......

Tafakari bwana mdogo na soma uelewe......CAG amekagua hesabu za vyama vyote vilivyopokea ruzuku sio chadema yako pekee...na ukitaka kuziona ripoti za ukaguzi tembelea tovuti ya msajili wa vyama vya siasa au ya NAOT...acha ushabiki
 
nikiona mayowe kama haya najua fika hali siyo shwari pale ufipa kutokana na babu kujikusanyia ruzuku na mbowe kujilipa atakavyo ruzuku za chama. tunajua mkifanyacho ila tunawachora tu.

Sasa ni dhahiri mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali Ludovick Utoh amekubali kutumikia chama cha Mapinduzi - CCM

Ni jambo la kushangaza kwamba mdhibiti huyu amekagua mahesabu ya chama kikuu cha upinzani nchini CHADEMA lakini ameshindwa kabisa kukagua chama cha Mapinduzi CCM.

Wapenda haki demokrasia na utawala bora tunajiuliza maana yake ni nini?

Kwamba CCM iko juu ya sheria?

Kwamba mdhibiti na mkaguzi wa hesabu za serikali ana maslahi gani ndani ya CCM?

Kwamba labda kuna agenda ya siri nyuma ya ukaguzi wa mahesabu ya Chadema?

Tafakari....
 
Mnahaha kuzuia maporomoko kwa vidole, mwaka huu mtaenda na kulima misukule nyie. Mmekamatika ripoti hiyo imewavua nguo na wizi wenu subirini tar 28 october, mtaninyea kabisa. Rudi vunjo ukalime maua unakomaa ufipa mwanaume mzima kusifia wanaume wenzio, kweli wewe msukule unaotembea

Mtaji wa ccm we. Mipasho jadi yenu
 
www.naot.go.tz/audited accounts 2012/2013
Mkuu nimetembelea na nimesearch hiyo website nimeona reports ambazo ndani yake kuna habari za jumla jumla tu kuhusu vyama vya siasa (information hiyo haizidi hata page moja). Ni information ya jumla ambayo ilishasemwa kwenye vyombo vya habari......

Hii unayoizungumzia hapa ni ipi ? Tusaidie kwa kuweka direct link......
 
Back
Top Bottom