CAF ni Jipu linalohitaji mtumbuaji

Pusha T

Member
Jan 2, 2015
64
22
wakuu nina swali ambalo kila muda linaniumiza kwenye maswala ya mpira
hivi ni kwanini katika klabu bingwa Africa team za kiarabu zinamaliziaga mechi zao nyumbani unless zikutane zenyewe kwa zenyewe tu au ni kwa sababu makao makuu yapo arabuni
 
Hata mie nakereka. Inabidi vyama vya soka vya nchi vifanye kampeni ya kuhamishia makao makuu yawe katika nchi iliyopo katikati ya bara letu.
 
cha muhimu timu zetu zipambane bila ya kujali wanaanzia wapi na kumalizia wapi hapo tutafanikiwa lakini tukitegemea hili swala la kusema sisi kila siku tunafanyiwa hujumu tunapo kwenda huko litafanya tuwaogope na hatuta fanikiwa tukiwa na hofu.

uzuri ni kwamba kama ni hujuma tumefanyiwa mara nyingi hivyo nilitegemea timu zetu zitafute njia za kutatua hayo matatizo binafsi bila kuwategemea CAF kwani naamini timu bora haichagui nyumbani au ugenini ubora wake uta kua palepale
shukran!.....
 
Ligi yenu yenyewe ya kitoto alaf mnazungumzia waarabu Tengenezeni kwenu kwanza kabla ya kuwanyooshea vidole CAF
 
Mbona simba alianzia nyumbani akamalizia ugenin na hukohuko akamtoa mwarabu zamalek (2003) pia ikawaaa hivohivo kwa waarabu wa club setif (2012)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom