Yes ni miamba kabisa [emoji2][emoji2][emoji2]
Hii ni miamba ambayo imewapasua Alhilal ,raja,wydad,Esperance ,mamelod ,Alhly,Petro de Luanda ,Simba,vipers ,Hadi ikabak miamba miwili pekee ambayo ni yanga na USM Alger, so sikupingi kabisa,jipige finger print alaf nusa then sema mm ni kilaza.
Miamba ni hii hii ambayo haijaingia hata makundi club bingwa miaka 26 na inabeza wanaume waliofika robo club bingwa.
Club bingwa hii hii ambayo inachuja makap hatua za awali Ili hayo makapi yakatifuane huko ,na baada ya kutifuata kapi Moja linakuja mbele na kujifananisha na ambao wavuka ambapo yenyew hayakunusa kabisa