Just Pray
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 2,142
- 4,777
Akizungumza na wanahabari jijini Dar es Salaam leo, Alhamisi Septemba 04.2025 Mbunge wa zamani wa jimbo la Kilwa Kusini Selemani Saidi Bungara (Bwege) amesema
"Hata serikali ya CCM, humsikii Polepole huko? Mapungufu kumpata Rais wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania, Msajili kafanya nini? Mahakama imefanya nini? Mapungufu katika Vyama yapo tu, hata CCM yapo na watu wa CCM wanalalamika upatikanaji wa Urais Samia Suluhu sio sawa sawa, akina Polepole wanasema, watu wameenda mahakamani, wameandika barua kwa msajili, Msajili amefanya nini? Mahakama imefanya nini?"
"Hata serikali ya CCM, humsikii Polepole huko? Mapungufu kumpata Rais wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania, Msajili kafanya nini? Mahakama imefanya nini? Mapungufu katika Vyama yapo tu, hata CCM yapo na watu wa CCM wanalalamika upatikanaji wa Urais Samia Suluhu sio sawa sawa, akina Polepole wanasema, watu wameenda mahakamani, wameandika barua kwa msajili, Msajili amefanya nini? Mahakama imefanya nini?"