Bwana/bi harusi wafundishwa kuvunja mwiko

Bwana/bi harusi wafundishwa kuvunja mwiko

KAKA A TAIFA

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2011
Posts
566
Reaction score
83
Basi wote walikuwa hawajawahi kabisaaaa .basi wamefunga harusi wamepelekwa chumba husika chini ya usimamizi wa vibibi na mashangazi na washenga.jamaa akoachwa juu ya bimkubwa ,walivyorudi kaa hajajigusa.basi bibi mmoja akagiza aletewe jogoo na mchele.vyote vikaletwa bibi: Wewe kijana mlalie biharusi ati,akafanya hivyo .bibi akaagiiza mchele ,aka mwagia kijana mgongoni mpaka kiunoni.jogoo akaletwa akaanza kumdonoa taratibu kijana akawa anapanda anashuka huku somo akaanza kulijua mara mchele ukesha jogoo hadonoi tenu naye hajigusi,mara akasikika akisema niongezeeni nchele ,niongezeeninchele nshasikia raha ati kumbe jogoo kwa nchele ndio ndoa yenyewe
 
Shule etu za kata na msingi (nikimaanisha za serikali) ndo zimefungwa tutegemee maajabu JF.
 
Back
Top Bottom