wacha kupindisha mambo, wapi nimesema mimi ni strategist wa Bw. Lowasa? Nimesema nimeangalia TV alikuwa anahojiwa nikavutiwa na alichokisema na uwezo wake wa kujibu maswali (kulingana na mwono wangu) sasa hayo mambo ya ustrategist yametoka wapi?
Mbona unabehave ki-CCm kwamba kwa kuwa sikubaliani naye wacha nimtukane au nimpige risasi! Hatufiki hivyo!