Mwanaume ukiitwa ATM ujue hakuna penzi hapo! Ujue unatumiwa tu.
Mwanamke aliyekamili na kumuheshimu mwenzi wake hawezi kumuita mwenzi wake ATM, buzi, saccos. Majina haya ni kwa wenye mapenzi ya kuhit and run ambao hawana future yoyote.
Ukihit na kurun huyo kipoozeo anakuwa hajakusoma vizuri kama ni ATM au CASHIER lakini ili uhit na kurun inabidi utumie nguvu ya pesa kumpata....unaburudika kisha unasepa mpaka siku ingine tena ukijisikia njaa.
Ukihit na kurun huyo kipoozeo anakuwa hajakusoma vizuri kama ni ATM au CASHIER lakini ili uhit na kurun inabidi utumie nguvu ya pesa kumpata....unaburudika kisha unasepa mpaka siku ingine tena ukijisikia njaa.
Hahahaha ukizingatia nimedaka toka asubuhi yaani kalio moja lipo juu juu tu na zinanitekenya sana sijui wapi nikatulie eti kiwanja gani utaona kina faa?
Hahahaha ukizingatia nimedaka toka asubuhi yaani kalio moja lipo juu juu tu na zinanitekenya sana sijui wapi nikatulie eti kiwanja gani utaona kina faa?
Hahahaha ukizingatia nimedaka toka asubuhi yaani kalio moja lipo juu juu tu na zinanitekenya sana sijui wapi nikatulie eti kiwanja gani utaona kina faa?
Ndo hapo sasa zinanitesa sana yaani hapa kwenye kiti sipo balanced kabisa....ngoja naanzia Traveltine kwa vidole juu nikaangalie mwanamke nyonga nimekumbuka.