Business partner (with good business idea)

Business partner (with good business idea)

Msuya Jr.

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2013
Posts
1,691
Reaction score
900
Habari waungwana, jamani me nimepiga dili kadhaa , nimepata kama million 5 hivi, so nahitaji patner mwenye idea nzuri ya kibiashara, tufanye business.. Nakaribisha mawazo...
 
Mkuu renyo hili sio juu husika kwa mada yako ndio maana hupati msaada. Muombe mods walipeleke huko jukwaa la ujasiriamali. Pia jaribu kutembelea huko utapata idea nyingi tu zilizojadiliwa hivyo waweza kuchagua itakayokufaa kwa pendeleo lako.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom