Business Partner wa Mchengerwa aula uteuzi! Tunagawa vyeo mpaka kwa marafiki na hakuna kitu mtafanya!

Business Partner wa Mchengerwa aula uteuzi! Tunagawa vyeo mpaka kwa marafiki na hakuna kitu mtafanya!

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
2,786
Reaction score
7,567
Wakuu,

Bi mkubwa kashaona Watanganyika tumeishiwa pawa, ni mwendo wa kula tu na ndugu na marafiki na hajari rorote. Business parter wa Mchengerwa naye amepewa asante ya uteuzi. Sijui itakuwa alifanya kazi gani ya kupewa zawadi?!🌚🌚

IMG-20260208-WA0001.jpg
IMG-20260208-WA0002.jpg

Baada ya wanahisa wengine kuongezeka, Mchengerwa akatuchezea mchezo, eti akaziba jina lake, la mdogo wake nalo likapotea, afu braza Emma akaingia hapo - ili tuone kuwa Mkwe hamiliki karibu hisa zote wakati ni geresha tu😂😂😂🤣 msitufanye watu wajinga bana🌚🌚

Halafu huyu bwana yupo bodi ya wakurugenzi ya Crown, huku Mkwe kamvuta ili kutuzuga kuwa yeye sio mwanahisa pekee wa Rufiji FM... hii inamaanisha Boss wa Crown ni nani?🌚 Sitawaambia kila kitu banaaaa
IMG-20260208-WA0003.jpg


Anyhu, mama anatosha, amani tuliyoichagua itawale😌😌

IMG-20260208-WA0004.jpg
 
Huyu ndio business partner wa Mchengerwa , mkwe wa Samia na waziri wa Afya!! Ameteuliwa kuwa naibu katibu mkuu wa wizara hiyo hiyo ya business partner wake!!

Polepole alikwisha toa onyo kuwa huyu mwanamke mkimuachia atawale , atawasumbua sana kama nchi kwani atafanya mambo ya hovyo dhidi ya nchi na hakuna mtu ccm atakayemfunga LUKU!
 
Huyu ndio business partner wa Mchengerwa , mkwe wa Samia na waziri wa Afya!! Ameteuliwa kuwa naibu katibu mkuu wa wizara hiyo hiyo ya business partner wake!! Polepole alikwisha toa onyo kuwa huyu mwanamke mkimuachia atawale , atawasumbua sana kama nchi kwani atafanya mambo ya hovyo dhidi ya nchi na hakuna mtu ccm atakayemfunga LUKU!
Kufunga luku ndo nini Mkuu?
 
Wakuu,

Bi mkubwa kashaona Watanganyika tumeishiwa pawa, ni mwendo wa kula tu na ndugu na marafiki na hajari rorote. Business parter wa Mchengerwa naye amepewa asante ya uteuzi. Sijui itakuwa alifanya kazi gani ya kupewa zawadi?!🌚🌚


Baada ya wanahisa wengine kuongezeka, Mchengerwa akatuchezea mchezo, eti akaziba jina lake, la mdogo wake nalo likapotea, afu braza Emma akaingia hapo - ili tuone kuwa Mkwe hamiliki karibu hisa zote wakati ni geresha tu😂😂😂🤣 msitufanye watu wajinga bana🌚🌚

Halafu huyu bwana yupo bodi ya wakurugenzi ya Crown, huku Mkwe kamvuta ili kutuzuga kuwa yeye sio mwanahisa pekee wa Rufiji FM... hii inamaanisha Boss wa Crown ni nani?🌚 Sitawaambia kila kitu banaaaa
View attachment 3541274

Anyhu, mama anatosha, amani tuliyoichagua itawale😌😌

View attachment 3541275
Wewe nakusifu umeleta habari sio kwa mhemko na umbea umeweza ku link documents and scenarios unafaaa sana taarifa za kiuchunguzi,

1. MENGINE MAMA NAYE NAONA UNA UNDUGUNIZATION SANA , NILIMPENDA MNO MAGUFULI LAKINI NILIMLAUMU MNO UNDUGUNIZATION NAONA MAMA KAIGA 100%
 
Alafu ndio tutegemee hawa TAKATAKA wasanii watuunge mkono wananchi kukemea ushenzi wa wanasiasa wakati wao wenyewe ni sehemu ya walaji wa keki ya Taifa.

Hili Taifa tusijekutegemea hawa wasanii, sijui waandishi wa habari, na wote wanaojiita public figures, maana wote wanashirikiana na wezi, naona kwasasa wamemtenga yule kibaka wao Diomond platinum na wasafi yake hapewi madeal mpaka anashidwa kulipa mishahara wafanyakazi, nguvu kubwa imehamia kwa Kibaka Alikiba au toilet paper wa crown media.

Ni mengi yanaendelea ktk huu utawala ni vile ngumu kupata ushahidi kamili wa haya madudu yao, tuendako Wao wenyewe watayatoa haya madudu yao baada ya kuanza kupishana kimaslahi mwishoe wataanza kurogana, kuwindana na kutoana roho ili kulinda maslahi yao na familia zao

Huu mwaka utakuwa wa moto sana hapa Nchini, stay tuned
 
Back
Top Bottom