Business Opportunity - kuwa wakala wa benki

Business Opportunity - kuwa wakala wa benki

Uswe

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
2,204
Reaction score
627
Kama ungependa kuwa wakala wa benki, tuwasiliane kwa namba 0754-730813

Vitu vya kuzingatia

1. Soma Page number 5 na 6 kwenye hii guideline ya BOT kujua kama umekindi vigezo vya kuwa agent.
https://www.bot-tz.org/BankingSuper...ENT BANKING FOR BANKING INSTITUTIONS 2013.pdf

2. Unafungua akaunti katika benki yeyote ya UmojaSwitch (chagua benki upendayo kati ya benki 27)

3. Nunua Mashine POS kwa sh 600,000 POS kutoka kwangu

4. Unakuwa wakala wa benki za Umoja, rudi namba moja kujua huduma ambazo wakala wa benki anaweza kufanya.

5. Mbali na kuwa wakala wa benki za umoja, unaweza kufanya huduma zifuatazo kwa mashine hiyo hiyo moja.

  • Kulipa Luku
  • Kulipa TRA
  • Bili za Maji
  • ZUKU
  • DSTV
  • Vocha za Simu (Tigo, Airtel na Vodacom)
  • Unaweza kutoa/kuwaka pesa kutoka Mpesa, TigoPesa au Airtel Money
  • Malipo yanaweza kufanyika kwa cash au kwa kutumia kadi yeyote ya UmojaSwitch


Karibu kwa maswali, changamkia nafasi ya biashara
 
du mkuu , mbona tunaweza fanya biashara......I own mobile banking services..... nina ofisi nzuri, but mtaji wangu kidogo. hata hiyo machine napenda kuinunua but uwezo. but pia huku niliko sina uhakika wa wateja wa umoja switch banks
 
Nachangamkia, nimekuandikia meseji mkuu kwa simu yako.
 
Back
Top Bottom