Kurunzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 9,285
- 9,920
Una wivu flan hivi kama wa demuKudadeki Minyani hata yadanganywe kuwa Yanga wamenunua Meli ya kuendea Zanzibar kucheza Bonanza la Mapinduzi Cup basi yataamini.
Yani Wachambuzi wao takataka wamewapostia basi la Kampuni ya HUNTER LUXURY inayomiliki Mabasi ya KUNEEL HUNTERS na kuwaambia eti ni Basi la Yanga basi yameamini kama Minyumbu na Kuanza kujitangazia kuwa Basi lao ni Scania.
Yani Mijishabiki ya Yanga Mibogus, Mipuuzi, Mijinga, Mimwehu, Hayana akili, Mipumbavu yanayodanganywa Ovyo kabisa.