Matendo Andrew
JF-Expert Member
- Apr 1, 2014
- 748
- 367
Hilo basi kwa speed ni hatari, nakumbuka wakati nasoma udom 2008/2011 niliwahi kupanda siku moja tu lakini huo mwendo ni wa hatari saana, nikasema sitapanda tena. Changamoto nyingine ni siti zake hazina cover yaan unakalia vyuma, uvundo ndani yaani inatokana na uchafu maana gari kama dampo, matundu, wadudu wadogo wadogo wanaoruka na kutambaa, n.k
Hilo basi kwa speed ni hatari, nakumbuka wakati nasoma udom 2008/2011 niliwahi kupanda siku moja tu lakini huo mwendo ni wa hatari saana, nikasema sitapanda tena. Changamoto nyingine ni siti zake hazina cover yaan unakalia vyuma, uvundo ndani yaani inatokana na uchafu maana gari kama dampo, matundu, wadudu wadogo wadogo wanaoruka na kutambaa, n.k
Hakikisha unamwamvuli endapo mvua itanyesha
Haa Haa Haaaaa..... Wewe Angalia Matairi , Dereva Na Engine. Body Waachie Watoto. By The Way Kama Uwezo Wako Wa Nauli Ni Mdogo Basi Hapo Ndipo Panakufaa, Kama Uwezo Wako Unatosha Basi Mabasi Yapo Mengi Sana. KIMBINYIKO, AL-SAEDY, HAPPY NATION, ABOOD N.K.
Nakutakia Safari Njema!
akuuu mi naenda iringa ila hili bus bwana duu
Usishangae kumkuta abiria kapanda na mbuzi ndani ya basi.