Habari za uhakika kutoka kwa jamaa aliekuwepo kwenye bus la nyehunge lifanyalo safari za Kakola- Mwanza.
Nyehunge limegongana uso kwa uso na lori katika maeneo ya bank kama unaelekea ilogi. Inasemekana watu sita (6) wameumia vibaya na watatu katiyao hawajitambui kabisa.