Bus la Allys lapata ajali Misungwi

Bus la Allys lapata ajali Misungwi

Ilisolokobwe

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
1,861
Reaction score
828
Bus la Allys limepata ajali mbaya baada ya kugongana na Lori la Azam maeneo ya Misungwi. Lilikuwa likitokea Mwanza Tabora. Hakuna aliyefariki katika ajali hiyo.
502163386f33b01294ca1f396b22ed42.jpg
 
Kumbe bado yapo? Nakumbuka kipindi barabara kipande cha manyoni bado vumbi mwaka 2008 jamaa alifika morogoro saa 11 toka mwanza..
 
Back
Top Bottom