cha ajabu sasa kawambwa alikuwa mgeni rasmi kweny mahafar yaliyofanyika mwez wa 9 mwaka jana matatizo yote hayo inamaana hakuyaona! kweli hawa ndo viongoz mzigo! chuo tunafinywa, makwez, matus, kuitwa majina kama primary, wanawake marufuku kuzaa wakiwa masomoni jamani hata tuseme watanzania wamezid kulalamika this is too much!!!