Buriani Kingunge…Lakini…!!!

Huyo mbwa aliye muuma pengine kuna masharti yalikiukwa (masharti ya ufugaji). Wataalamu wa sheria na katiba kipengele cha mazishi ya wanaopa kwa kushika katiba kipo?

RIP
 
Huyu mzee sijui kwanini alikua anataka Lowasa awe Rais? Ina maana hakumuelewa KBS nyerere enzi za uhai wake kwanini alikua hataki kusikia lowasa anaisogelea ukulu? Ngoja akakutane nae huko sijui atamjibu nini
 
Fikra na maamuzi mengi ya wanasiasa hutawaliwa na "maslahi".
 
Mleta Uzi nawe umemsema Mzee Kingunge kwa muundo wa kung'ata na kupuliza eeeh!?

Mleta uzi, Mwenyezi Mungu anakuona!!

R.I.P Mzee Kingunge.

Poleni wafiwa wote.
 
Swali ni watanzania tutamkumbuka kwa lipi litakalo dumu vizazi kwa vizazi? Lipi katuachia la kum enzi? Nadhani tuna cha kujifunza.
 
Nilichojifunza ni kuwa kwenye siasa hakuna misimamo ya kudumu,hakuna rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu..
 
Alifaidi sana makusanyo ya Ubungo Terminal
 

umeandika upuuzi gani wewe
 
Mzee Kingunge ndio aliekuwa mpishi mkuu wa siasa,lakini mtekelezaji mkuu hakula na kuwagawia watu wake mapishi yote,tatizo liko hapo.Laiti mtekelezaji mkuu angewapa watanzania mapishi yote ya Mzee Kingunge labda Tanzania ingekuwa imepiga hatua kubwa.
R.I.P Mzee Kingunge.
 
Kwamba vyombo vya usalama vilikuwa vinamwogopa Kingunge? Vilikuwa vimepigwa ngazi na Kingunge? Tunapowaambia nyie maCCM ni hovyo kabisa mifano yenyewe ni kama hii!
 
Yaani mtu akifa akiwa ccm ni dhahiri anafikia tanuru la moto moja kwa moja..
Mzee ni kama aliliona hilo ikabidi atubu aungane na wanyonge..!!
 
Huyu mzee sijui kwanini alikua anataka Lowasa awe Rais? Ina maana hakumuelewa KBS nyerere enzi za uhai wake kwanini alikua hataki kusikia lowasa anaisogelea ukulu? Ngoja akakutane nae huko sijui atamjibu nini
Habari za mitaani hizo!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…