Jiji la Dar es salaam lliifanyiwa utafiti wa kina na wataalamu kutoka south america walilipwa na world bank kama sijakosea. Report yao iliongelea options zote mpaka hii ya mleta mada, BRT ili onekana itafaa zaidi. Kama mtu anaweza weka ile report itakua safi,
ilichambua vizuri sana hizo options.
Sent using
Jamii Forums mobile app