P Piazza jr Member Oct 30, 2011 70 3 Nov 8, 2011 #1 Jamani wadau leo mjengoni(bungeni) kwaanza hapa Tindu Lissu, Mnyika, Mdee, Sugu, Wenje n.k yani full mapambano yanaendelea
Jamani wadau leo mjengoni(bungeni) kwaanza hapa Tindu Lissu, Mnyika, Mdee, Sugu, Wenje n.k yani full mapambano yanaendelea
W Wababa Senior Member Jul 21, 2011 158 14 Nov 8, 2011 #2 Wacha waende hao magamba kusinzia tuu. Eeeh nini kinaendelea hapo nmc
P Piazza jr Member Oct 30, 2011 70 3 Nov 8, 2011 Thread starter #3 Ki2 cha NMC bado sina taarifa kwa leo