Shida yenu wabheja ni ushamba na ujinga.
1. Nani: Mwendazake
2. Mawaziri wote waliohudumu kwenye kwenye Wizara inayohisika na ujenzi
Akiwa uvuvi alitumia nguvu nyingi bila sababu kiasi cha kuisababishia serikali hasara mara nyingi tu.
Kwahyo kama Mpina ndio ameibua hiyo hoja wengine hawawezi kuizungumzia hyo hoja? Tundu Lisu kama muakilishi wa wananchi alikuwa na haki ya kuielezea hyo hoja, na hata wananchi wa Kawaida pia wanawajibu wa kuibua hoja hii.