SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 6,698
- 6,176
Weka ushahidi, unapayuka payukaShida yenu wabheja ni ushamba na ujinga.
1. Nani: Mwendazake
2. Mawaziri wote waliohudumu kwenye kwenye Wizara inayohisika na ujenzi
Akiwa uvuvi alitumia nguvu nyingi bila sababu kiasi cha kuisababishia serikali hasara mara nyingi tu.
mie ndhungu mbheja sunken falaasiUkitaka kujua zipi njoo inbox nikueleze maana nyingine zinagusa mamlaka nyingine.
Unaniuliza mimi mwendazake? hata kwenye kamusi hamna hilo neno, nikujibu vipi?