Ukiona wanahakiki Hotuba ujue kwamba wao hawataki kukosolewa, na hiyo ni moja sifa za serikali ya kiimla,,huwa hawapendi kukosolewa kabisa, Kwenye Dna zao hakuna suala kukosea. Wao ni miungu watu,,ingewezekana wanaweza hata kuwawekea maneno mdomini ya kuongea.