johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,754
- 139,560
Tumeshuhudia mawaziri vivuli Joseph Mbilinyi na Peter Msigwa wakigomea kusoma bungeni Hotuba za kambi ya upinzani kwa madai kuwa zimehaririwa.
Nimejaribu kufuatilia kidogo na kugundua kuwa Chadema wana hoja ya msingi kwani kazi za maofisa wa bunge si kuhariri Hotuba ziwe za upinzani au zile za kamati za bunge.
Hotuba ikishahaririwa inapoteza uhalisia na kuwa ni kitu kingine tena hasa pale inapohaririwa na mtu wa itikadi nyingine.
Napingana na Chadema katika mambo mengi ya msingi lakini katika hili nawaona wana hoja.
Niishie hapo
Maendeleo hayana vyama!
Nimejaribu kufuatilia kidogo na kugundua kuwa Chadema wana hoja ya msingi kwani kazi za maofisa wa bunge si kuhariri Hotuba ziwe za upinzani au zile za kamati za bunge.
Hotuba ikishahaririwa inapoteza uhalisia na kuwa ni kitu kingine tena hasa pale inapohaririwa na mtu wa itikadi nyingine.
Napingana na Chadema katika mambo mengi ya msingi lakini katika hili nawaona wana hoja.
Niishie hapo
Maendeleo hayana vyama!