Bunge na mjadala wa bajeti kuu

Bunge na mjadala wa bajeti kuu

drgeorgemayalla

Senior Member
Joined
Jul 9, 2012
Posts
174
Reaction score
171
Naomba kuhoji,jana Bunge lilifunga mjadala wa bajeti kuu ya serikali ambayo ilipangwa kujadiliwa siku saba 7,badala yake wakajadili siku 3 na nusu wakapitisha kwa sababu wooote walishachangia. Ikumbukwe kwamba,CHADEMA hawakuchangia hata mmoja,na wapo wabunge 49 tu,sasa najiuliza,INA MAANA MICHANGO YA WABUNGE WA CHADEMA NDO INGESABABISHA MJADALA WA SIKU 7? INAKUWAJE PUNGUFU YA WABUNGE 49 KUONYESHA UDHAIFU NA UBUTU WA WABUNGE ZAIDI YA 250 WALIOBAKI? Naomba kutoa hoja.
 
Naomba kuhoji,jana Bunge lilifunga mjadala wa bajeti kuu ya serikali ambayo ilipangwa kujadiliwa siku saba 7,badala yake wakajadili siku 3 na nusu wakapitisha kwa sababu wooote walishachangia. Ikumbukwe kwamba,CHADEMA hawakuchangia hata mmoja,na wapo wabunge 49 tu,sasa najiuliza,INA MAANA MICHANGO YA WABUNGE WA CHADEMA NDO INGESABABISHA MJADALA WA SIKU 7? INAKUWAJE PUNGUFU YA WABUNGE 49 KUONYESHA UDHAIFU NA UBUTU WA WABUNGE ZAIDI YA 250 WALIOBAKI? Naomba kutoa hoja.

Samahani mkuu, naomba kujua, kwani waziri wa fedha alihitimisha hoja yake kwa kutolea ufafanuzi hoja za wabunge?, Je vyombo vya habari vya huko hasa TBC1 vilizungumziaje hali hiyo hapo jana? Namaanisha taarifa ya habari ya saa mbili usiku katika TBC1?. Naomba unipe ufafanuzi pls.
 
kwa mujibu wa spika alisema, wabunge wote walioomba kuchangia na ambao walikuwepo bungeni tayari walikuwa wameishachangia hivyo akahitimisha kwa kuwataka wabunge wote hata wale walioko safarini kuhudhuria kikao cha Jumatatu kwani ndicho kitakachopiga kura ya kuipitisha bajeti au kutoipitisha. upigaji kura utakuwa ni wa kumuuliza mbunge mmoja mmoja na sio kura za jumla jumla. Mjadala umefungwa ila haijapitishwa hadi J3 kutegemea na idadi ya kura zitakazopigwa.
 
Back
Top Bottom