Wadau nawasilisha hoja barazani la kulitaka bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kutuomba radhi walipa kodi wa nchi hii, wapiga kura wao na wenye maamuzi makubwa dhidi yao kabla hatuhatumia haki yetu ya kikatiba kuwataka wawajibike mbele yetu, nasema hivi kwa sababu zifuatazo,
1. Kushindwa kutumia hekima na busara kwa kuendesha mijadala wa wapo mjengoni, hii tabia imekithiri na imeanza kuota mizizi, siku hizi ni kawaida sana kusika bungeni wabunge wakizomea, dhihaki michango ya wenzao na hata kuropoka pasipo mpangilio, wanakwenda mbali zaidi hata kupingana na muongozo wa spika
2. Wabunge siku hizi wanajadili hoja na miswada kwa kufuata ushabiki wa kisiasa wa itikadi wa vyama vyao na si maslahi ya taifa letu, wanaweka maslahi ya chama mbele ya nchi nyuma.
mmmh me nafikiri kuomba radhi sio suluhisho ukweli ni kwamba wamekosa adabu huwa najiuliza hao wanaozomea wana:watoto?,degree?,wake,?waume?, au ni wahuni tu walioingia bungeni kupitia migongo ya wahuni wenzao?manake hata makazini wale walioingia kwa migongo ya watu bila juhudi na sifa zinazotakiwa huwa hawana nidhamu ya kazi manake hawajui uchungu na thamani ya kazi husika nafikiri na bungeni ni hivyo hivyo da natamani Mungu angenyosha mkono wake akatoa fundisho flani,manake mamlaka imekosa adabu
Wadau nawasilisha hoja barazani la kulitaka bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kutuomba radhi walipa kodi wa nchi hii, wapiga kura wao na wenye maamuzi makubwa dhidi yao kabla hatuhatumia haki yetu ya kikatiba kuwataka wawajibike mbele yetu, nasema hivi kwa sababu zifuatazo,
1. Kushindwa kutumia hekima na busara kwa kuendesha mijadala wa wapo mjengoni, hii tabia imekithiri na imeanza kuota mizizi, siku hizi ni kawaida sana kusika bungeni wabunge wakizomea, dhihaki michango ya wenzao na hata kuropoka pasipo mpangilio, wanakwenda mbali zaidi hata kupingana na muongozo wa spika
2. Wabunge siku hizi wanajadili hoja na miswada kwa kufuata ushabiki wa kisiasa wa itikadi wa vyama vyao na si maslahi ya taifa letu, wanaweka maslahi ya chama mbele ya nchi nyuma.
3. Staha ya kuvaa nayo imepungua na juzi naibu Spika amelalamikia uvaaji hususani waheshimiwa wa jinsia KE
Haya na mengine yote ambayo sija yataja hapa juu ni uthibitisho wa bunge kutukosea watanzania hivyo wanastahilli kutuomba radhi kabla hatujalazimisha kupewa heshima zetu
Wadau nawasilisha hoja barazani la kulitaka bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kutuomba radhi walipa kodi wa nchi hii, wapiga kura wao na wenye maamuzi makubwa dhidi yao kabla hatuhatumia haki yetu ya kikatiba kuwataka wawajibike mbele yetu, nasema hivi kwa sababu zifuatazo,
1. Kushindwa kutumia hekima na busara kwa kuendesha mijadala wa wapo mjengoni, hii tabia imekithiri na imeanza kuota mizizi, siku hizi ni kawaida sana kusika bungeni wabunge wakizomea, dhihaki michango ya wenzao na hata kuropoka pasipo mpangilio, wanakwenda mbali zaidi hata kupingana na muongozo wa spika
2. Wabunge siku hizi wanajadili hoja na miswada kwa kufuata ushabiki wa kisiasa wa itikadi wa vyama vyao na si maslahi ya taifa letu, wanaweka maslahi ya chama mbele ya nchi nyuma.
3. Staha ya kuvaa nayo imepungua na juzi naibu Spika amelalamikia uvaaji hususani waheshimiwa wa jinsia KE
Haya na mengine yote ambayo sija yataja hapa juu ni uthibitisho wa bunge kutukosea watanzania hivyo wanastahilli kutuomba radhi kabla hatujalazimisha kupewa heshima zetu
Hivi ninyi watu mna matatizo gani? Kuomba radhi kwa kosa gani, bungeni si mahala pa mchezo, watu wanakwidana mashati bungeni. Nani alikuambia part affiliation ndani ya bunge inatoweka, US kuna blue na red na hata wanavyokaa wanakaa kichama na hilo lipo kila kona. Kuzomea ni jambo la kawaida, Uk house of commons, wanazomea kila siku Hebu mfanye utafiti kuona mabunge yenye vyama vingi yanakuwaje, tatizo tz watu bado tumelala na inasikitisha. India wanazipiga kial siku, loh