Bunge letu tukufu linatakiwa sasa lichukue nafasi yake ya kuisimamia serikali. Kama litanyamazia vitisho inavyopewa basi itakuwa ni kosa kubwa la kihistoria.
Sisi wananchi tutawalinda kwa kura. Wabunge hasa wa CCM fungukeni muiokoe Tanzania inakoelekea ni shimoni. Kiongozi anavamia kituo cha Redio ninyi mpo kimya, kiongozi ana vyeti feki mpo kimya! Mnataka mpaka aanze kupiga watu barabarani ndiyo mtoe kauli?
CHONDE CHONDE iokoeni TANZANIA.
Sisi wananchi tutawalinda kwa kura. Wabunge hasa wa CCM fungukeni muiokoe Tanzania inakoelekea ni shimoni. Kiongozi anavamia kituo cha Redio ninyi mpo kimya, kiongozi ana vyeti feki mpo kimya! Mnataka mpaka aanze kupiga watu barabarani ndiyo mtoe kauli?
CHONDE CHONDE iokoeni TANZANIA.