Bunge lamjibu Mbowe, ladai pesa wametuma hospitalini tarehe 20 Sept sababu hawakuwa na akaunti ya hospitali

2) Mbowe yuko sahihi, unapotuma muamala nje ya nchi moja kwenda nyingine zile fedha hazisomi/haziingii kwenye akaunti iliyolipwa siku hiyo hiyo. Hivyo taarifa ya Mbowe ambayo ni ya tarehe 20/09/2017 kutoka Nairobi Hospital haikuonyesha kupokea fedha hizo (not captured).

Tangu tar, 07/09 kuna sababu gani ya msingi fedha hizo zilizochangwa say 08/09 zisiwe zimefika?
 
A/c no inatafutwa kwa cku zaidi ya 10? Kwl ndugai alikua busy na akina lema,msigwa,zitto na kubenea asee tumsamehe buree na alijua kua lissu anaumwa typhoid tu so hamna uharaka sana
 
We ni chizi,mshamba na limbukeni tu!!
Yaani unasifia ujinga......!Tarehe 7.09.2017 mpaka Tarehe 20..09.2017 ni siku 13 kamili 2 weeks almost.Una mgonjwa yuko ICU unatuma fedha ya matibabu baada ya wiki2....!!No way!! Rais Magufuli na Spika Ndugai please, please STOP FOOLING TANZANIANS!Msitufanye watoto wadogo pse!
Hii issue ya Lissu imewakalia vibaya sana and wiill surely cost your goverment squarely!
You better keep quite than continue utterring rubbish maana mnazidii kujiaibisha sana!!
The saga have caught you unprepared......!!!!!!
Mkuu nikusahihishe kidogo... usihesabu toka alipopigwa risasi, hesabu tangu michango imekamilika...

By the way, kwa yafuatayo inatia shaka kuwa walitaka wachikichie michango..
1. Kwanza walitaka akatibiwe muhimbili... wakashindwa
2. Baadaye wakasema hawatagharamia matibabu .. sijui nini kimetokea wakgeuka wakasema watamtibu popote duniani
3. Wakasema mbunge wa CCM alilipia ndege, mbunge akasema alitoa udhamini na si kulipia
4. Wamachangisha hela haladu wakakaanazo, wamesemwa wakaamua waseme wamelipa
5. Wamewakamata wachangia damu kwa LISU
6. Wamewakamata waliokua wanakuombea LISU
7. Wamewakamata waliokutana sehemu tofautitofauti ili kushughurikia mambo au kuratibu msuala ya LISU

UKIANGALIA HIYO SEQUENCE YA MATUKIO UNAWEZA JUA NIA YAO AU WALIPENDA NINI KITOKEE
 
Si wangemtuma mtu wao apeleke? Walikuwa wanatafuta account no ya nini, kinachoniuma ikikuwa dharula sasa imekuwaje ikachekewa? Jamani hili lituamshe watanzania. Moja kwenye huo mchango hata hela ya Lissu imo, Mbowe, Lema na hata Nyalandu jamani kweli huu ni uungwana? Au walikuwa wanajua haponi nini, tulichunguze na liundiwe tume huru. Aisee Mbowe anastahili kuwepo kwenye ufalme ule tutazamiao waumini.
 
Is this a Joke?

Pesa inatumwa kwenye account ya Hospital na sio account ya Chadema?

Mbona serikali inazidi kujikaanga? Hospital wao ndio wanamtibu Tundu Lisu na kazi yao ni kusema how much inahitajika ili chadema watoe au serikali itoe kama gharama za matibabu.

Kwenye hii saga maswali ni mengi kuliko majibu.

Hell Tanzania

Kiasi fulani hili linashangaza kwa kweli....

At least, kama wangekuwa wamewasiliana na hospitali husika (iwapo hawawaamini wanaomuuguza) na kupata actual billing ya matibabu ya mgonjwa, kidogo ingeeleweka...

Pia hata kama tumefikia kwenye kiwango cha kutoaminiana kwa kiwango hiki, basi wangeiingiza kwenye akaunti ya familia, labda tungewaelewa kidogo....

Kwa sbb najiuliza tu, hivi inaweza kuwa vipi iwapo tayari gharama ya matibabu ikawa imelipwa ama kiwango kikazidi gharama halisi? Maana yake mchakato wa kumrudishia muhusika, siyo?

Lakini kwanini kutumia njia primitive kama hii??

Kuna kitu hapa hakiko sawa hakika, na possibility kubwa hapa ni kuwa tunadanganywa... bunge linajikosha tu...!!!

Likely, Mbowe anajua kila kitu hapa lakini kaamua kumtunzia heshima ndogo aliyobaki nayo Bw. Job Ndugai, Spika wa bunge la JMT..
 
Tunajua unaongea upuuzi hilo halina ubishi lakini sikutarajia kama unaweza kuongea upuuzi wa hivi. Kwa hiyo spika kusema alipigwa risasi tano naye ni sehemu ya huo mchezo? Hospitali ya Dodoma aliyotibiwa nayo ni sehemu ya hilo unalooita igizo? Wakati Lissu anapelekwa Nairobi, katika uwanja wa ndege alikuwepo Mwigulu na RPC wa Dodoma, nao hao ni sehemu ya hilo igizo? Halafu eti ccm inajisifia imekuwa mpya kisha inajaza watoto wajinga kama wewe hapa mitandoni kuitetea kwa hoja.
Yaani pamoja na uchungu ninaousikia nimejikuta nacheka sasa huyu hiyo buku saba haitendei haki
 
Tangu tar, 07/09 kuna sababu gani ya msingi fedha hizo zilizochangwa say 08/09 zisiwe zimefika?

Hii barua ya Ndugai ilitakiwa iambatanishwe na Bank slip ku justify kuwa pesa imekuwa deposited kwenye Account husika....!!No bank slip no any doc to justify any transaction!!!
Hata kama ni kwa kutumia mfumo wa TISS lazima kuwe na documentation!!!Kiila siku Rais wenu anapiga kelele," ukinunua dai risti, ukiuza toa risti" ! Wapi risti hapa??????
 
Sijatukana wala sitatukana, nasema what Mbowe and team are doing clearly shows that they creating a MOTHER OF ALL SMOKE SCREEN.

WALIOTAKA KUMUUWA LISSU LAZIMA WAJULIKANE, NA UCHUNGUZI SHOULD ALSO INCLUDE WALIOMO CHADEMA AMBAO WANGENUFAIKA KWA KUMUONDOA KIUHAI LISSU, NA HUO UCHUNGUSI UFUATILIE POPOTE PALE PENYE MASHAKA
na tusisahu ule usemi " KIKULACHO KII NGUONI MWAKO"
Na ndiyo maana tunatakiwa Scotland yard maana hawa tutajua mbichi na mbivu hawamtetea mtu yoyote kama aliyemshuti ni Mbowe tutajua au kama ni mpango wa Bashite na baba yake tutajua. Hata Kenya walinunua Moi alimuua Auko
 
Bado wanasisitiza tumwombee wakati tukikutana kwa ajili ya hayo maombi tunakamatwa

Kuna kitu kinaitwa "LEADERSHIP MALNUTRITION" Hawa viongozi inapokuja kitu kwa maslahi ya uchama au serikali, ufahamu wa kiuongozi huwa unatoweka hadi maslahi yatimilike. Hivi bunge lilipoikalia hiyo pesa walikuwa na maana gani? waliwaza kuwa lissu hatapona? kwa kuwa pengine walikuwa wanajua kuna nini kinaendelea? au walitaka Afe? Je THE TANZANIA LAW SOCIETY walifanikiwaje kutuma chapchap bunge lishindwe?
 
1) Walikuwa wapi siku zote kutuma hizo hela?

2) Mbowe yuko sahihi, unapotuma muamala nje ya nchi moja kwenda nyingine zile fedha hazisomi/haziingii kwenye akaunti iliyolipwa siku hiyo hiyo. Hivyo taarifa ya Mbowe ambayo ni ya tarehe 20/09/2017 kutoka Nairobi Hospital haikuonyesha kupokea fedha hizo (not captured).

3) Ni aibu kwa jinsi Mhimili wa Bunge unavyojidhalilisha kwenye hili suala la Lissu. Hivi wanadhani ripoti za Nairobi Hospital zinaandaliwa na CHADEMA? Je hawajui wanazidi kuumbuka?

4) Spika na Bunge wanathibitisha mashaka na tuhuma za Mbowe na Watanzania wengi juu ya wahusika wanaotiliwa shaka.

Asante Mkuu, huwa nafurahi sana ninaposoma mchango wenye mantiki namna hii, You are a genuine member of the Home of Great Thinkers. Hiki ni kiwango cha juu cha kuchangia mada. Asante sana.
 
A well written communication. Nimempenda bure mkuu wa kitengo cha mawasiliano bunge hakutaka kuingia kwenye mtego wa wanasiasa. Keep it up
Kutetea huu upupu yatupasa kuhoji IQ yako uenda mengine ayapo sawa yaani . Mental illness
 
Kutokana na tabia ya leo aliyoionyesha mheshimiwa MBOWE.....kuna uwezekano hii ni sinema ya ukweli
1) Inawezekana Lissu hakuwepo hata kwenye gari wakati risasi zinapigwa...
2)Dereva wa lissu hakuwepo ndani ya gari...alikuwa chini ya uvungu wa gari
3)Warushaji risasi walipangwa na GENGE husika walijua LISSU hayupo kwenye gari na Dereva atakuwa uvunguni kwa hivyo shot off target
4)Damu iliyoonekana inawezekana ikipimwa inawezekana ikaonekana ni ya ngombe kama sio mbuzi
5)Dereva wa LISSU alitoroshwa haraka ili asitoe ushirikiano
6)Madaktari waliohusika inawezekana part ya game lakini wakibanwa wanaweza kusema ukweli
7)Madaktari na location ya Kenya ilitayarishwa kwa ushirikiano mkubwa wa Kenyatta kwa hivyo siri bado inalindwa.
8)CHADEMA wapo HOI KIUCHUMI wamegundua njia ya harambee kwani NJIA za UFISADI zimefungwa na account za Mfalme wao zinatafutwa kila kukicha kwa hivyo hawezi kuvuta mpunga kuogopa kugunduliwa..
9)Baada ya kushindwa kupata attention ya dunia na wanaharakati kwa vurugu mbali mbali toka octoba 2015...wamebuni mbinu mpya ...

CC: Mwigulu Nchemba, January Makamba, Nape Nnauye, Juliana Shonza, Lizaboni, Kifyatu, Phillipo Bukilililo, jingalao, Yehodaya, Meningitis, Mkandara, wakudadavua, lizaboni
 
Jamani,kwani wanafamilia so wanatakiwa waziombe kwanza?

Hata hivyo Huyu kiranja ana moyo wa kibinadamu sana kwani alihisi kuwa watakuwa wanazihitaji Ila tu wanafamilia wa TL walichelewa au kusahau kuomba.
 
Ndugai nae sio mtu mzuri...

Yaani pesa imeshikiliwa badala ya kwenda kuokoa maisha ya lisu,
zile pesa zilikuwa ni emergency,
zilitakiwa haraka,


je,hapa sio kuna watu walitaka huyu lisu apoteze maisha kweli?
Halafu kwamba ni emergence wanajua sana tu... NIMSHUKURU YULE MBUNGE ALIYEDHAMINI GHARAMA ZA NDEGE maana ile alirespond very positive kwenye emergence situation...

Yaani...
1. Unakusanya hela halafu unakaa nazo huku ulijua LISU ana risasi kadhaa mwilini
2. Unaandika barua isiyo na sahihi ya yeyote
3. Unathubutu kujieleza eti ulikuwa unatafuta akaunti
4. Unakaa na hela muda wote huo, je kama ingekuwa ndo HELA PEKEE INAYOSUBILIWA KUOKOA MAISHA YA LISU, angekuwepi leo..??

HII NCHI TUNAHITAJI KUBADIRIKA KWA KIASI KIKUBWA.. KUANZIA VIONGOZI HADI WANANCHI
 
Binafsi nawapongeza sana Bunge kwa kujibu kwa wakati.

Ila Hotuba ya Mhe Mbowe imegusa maeneo mengi, sijui kila idara itajibu kadri inavyoona inafaa?
 
Back
Top Bottom