Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,618
Yaani hata hilo bunge lisengekuwepo usifikiri kama kungekuwa na mabdiliko yoyote yale,
Usitegemee kama hiyo fedha kama ingejenga barabara wala shule,
Pamoja na kwamba bunge hilo limetumia billions of money ila bunge lisengekuwepo hiyo fedha wala isingeonekana.
Bora bunge hilo limetoa fursa kwa watu ambao hawajawahi kupiga hela ya walipa kodi, bora hili bunge liwepo kila mwaka watu wapya wawe wanapata hiyo fursa ya kipekee.
Usitegemee kama hiyo fedha kama ingejenga barabara wala shule,
Pamoja na kwamba bunge hilo limetumia billions of money ila bunge lisengekuwepo hiyo fedha wala isingeonekana.
Bora bunge hilo limetoa fursa kwa watu ambao hawajawahi kupiga hela ya walipa kodi, bora hili bunge liwepo kila mwaka watu wapya wawe wanapata hiyo fursa ya kipekee.