Bundle inaisha pasipo mimi kudownload kitu

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Jul 29, 2013
10,819
24,591
Hili jambo limekuwa limikwaza maana jana nimenunu kifurushi nikajiunga na 2GB airtel lengo ni kumalizia kudownload series flan. nimeamka asubuh nakuta imebaki 156MB na kwenye ile series zimetumika MB 300 tu. hivyo kuna kama 1.6 GB hazijulikani zimeenda wapi .
nimeangalia kwenye statistics nikakuta kwenye upande wa Upload Data zimetumika hizo 1.something GB na download ndo zikaoneshwa hapo kidogo.
swali je inawezekana kuna kuwa na background matumizi ambayo siijayafaham au tunaposhare seeds ina athiri bundle zetu na nini kifanyike ili kuzuia bundle isiwe inaisha mapema hivi?
 
Ndugu Chizi Maarifa

Kwanza: Je ni OS ipi unatumia? ili upate ufumbuzi stahiki wa tatizo lako.

Pili:
  • Download hii software na iweke kwenye PC yako: DU Meter ichukue hapa: Monitor your computer's Internet use with DU Meter
  • Baada ya ku_install, Right click icon yake hapo kwenye Tray Icons kisha chagua Show DU meter
  • Click tab iliyoandikwa PROGRAMS - Hapo hakikisha uko connected kwenye internet na HAUJAFUNGUA software yeyote. HIVYO DU METER ITAKUONYESHA programs ZOTE ZINAZOTUMIA NTERNET BILA YA WEWE KUJUA
Unapo jibu swali la kwanza kuhusu OS, Pia ziandike hizo programs/ process zinazokula data ili upate njia sahihi ya kudhibiti matumizi ya data.
 
OS ninayotumia ni windows 7 . natumia vuze kudownload kupitia torrents. na mara nying napokuwa nadownload nakuwa nimeiacha tu hiyo vuze idownloa na programs nyingne zote nakuwa nimezifunga. naweza nikaiacha usiku.
 
Hili jambo limekuwa limikwaza maana jana nimenunu kifurushi nikajiunga na 2GB airtel lengo ni kumalizia kudownload series flan. nimeamka asubuh nakuta imebaki 156MB na kwenye ile series zimetumika MB 300 tu. hivyo kuna kama 1.6 GB hazijulikani zimeenda wapi .
nimeangalia kwenye statistics nikakuta kwenye upande wa Upload Data zimetumika hizo 1.something GB na download ndo zikaoneshwa hapo kidogo.
swali je inawezekana kuna kuwa na background matumizi ambayo siijayafaham au tunaposhare seeds ina athiri bundle zetu na nini kifanyike ili kuzuia bundle isiwe inaisha mapema hivi?
Probably windows update itakuwa turned on, kwa hiyo inajiupdate automatic kila inapokuwa na network access, cha kufanya fungua control panel halafu ingia "system and security" kisha sehemu ya "Windows update" click sehemu iliyoandikwa "Turn automatic updating on or off" kisha weka "Never check for updates" hii ifanye kipindi unapotaka kudownload tu, na kama windows update itakuwa turned off halafu bundle ikawa inatumika fuata ushauri wa watu wengine kama utakavyoelekezwa hapa
 
windows update nliturn off zaman sana soon after installation so hii si tatizo na hata nimeshaangalia several times wala si huku. na sina programs ambazo ningesema zinaji update pasipo mimi kujua coz zote huwa napenda nizisett kuwa updated manually isipo kuwa chahce ambazo pia wala si kubwa kiasi cha kumaliza gb moja point something kwa usiku.



Probably windows update itakuwa turned on, kwa hiyo inajiupdate automatic kila inapokuwa na network access, cha kufanya fungua control panel halafu ingia "system and security" kisha sehemu ya "Windows update" click sehemu iliyoandikwa "Turn automatic updating on or off" kisha weka "Never check for updates" hii ifanye kipindi unapotaka kudownload tu, na kama windows update itakuwa turned off halafu bundle ikawa inatumika fuata ushauri wa watu wengine kama utakavyoelekezwa hapa[/QUOTE
 
inawezekana setting za torrent dowloader yako inaruhusu wewe kuapload kwa wingi......jaribu kuangalia properties ya ulichokidownload imeuplod mb ngapi?
 
torrent ni 2 way p2p file sharing. Yaani unapokuwa umefungua program ya torrent yoyote wewe unaweza kudownload kwa watu na watu wanadownload kutoka kwako, kwa hiyo unafanya uploading at the same time. Na vitu vyote ulivyowahi kudownload kwenye Vuze vya zamani watu wanaweza kuvichukua kutoka kwako. suluhisho ni kupunguza ipload speed kwenye settings za vuze na pia kuondoa file kwenye vuze ukishamaliza kudownload ili lisile bundle, of coz kila mtu akifuata ushauri huu kutakuwa hakuna torrents!
 
torrent ni 2 way p2p file sharing. Yaani unapokuwa umefungua program ya torrent yoyote wewe unaweza kudownload kwa watu na watu wanadownload kutoka kwako, kwa hiyo unafanya uploading at the same time. Na vitu vyote ulivyowahi kudownload kwenye Vuze vya zamani watu wanaweza kuvichukua kutoka kwako. suluhisho ni kupunguza ipload speed kwenye settings za vuze na pia kuondoa file kwenye vuze ukishamaliza kudownload ili lisile bundle, of coz kila mtu akifuata ushauri huu kutakuwa hakuna torrents!
Umemjibu vyema na kama alikuwa bado hajuligundua tatizo hichi ndicho ninachomnywea MB zake. Ni vyema akaweka uploading limit kudhibiti upotevu wa data.
 
Back
Top Bottom