gango2
JF-Expert Member
- Aug 31, 2011
- 1,941
- 2,251
Igweee!!!
Wadau sasa leo tumeamka mabalaa, sio HALOTEL sio TTCL.
Wakati Halotel wametoa yale mabando ya kimaskini, nao TTCL wameona isiwe tabu lile bando pendwa TAM TAM wameamua kupiga rungu kabisa toka 1.5gb mpaka Mb600.
nikajaribu weka ka-simcard kangu ka zantel nilikokatelekeza muda mrefu labda nitapata lile bundle la 5gb kwa 5,000 nako huko nikakutana na balaa lile lile
Kwa kifupi naona kumechafuka kote, sio Tigo, vodacom wala TTCL, Halotel nako hakukamatiki kama Zantel.
Hebu tupeane maujanja sana twende wapi na tufanye nini. (Mimi atleast matumizi yangu kwa mwezi 30gb)
Wadau sasa leo tumeamka mabalaa, sio HALOTEL sio TTCL.
Wakati Halotel wametoa yale mabando ya kimaskini, nao TTCL wameona isiwe tabu lile bando pendwa TAM TAM wameamua kupiga rungu kabisa toka 1.5gb mpaka Mb600.
nikajaribu weka ka-simcard kangu ka zantel nilikokatelekeza muda mrefu labda nitapata lile bundle la 5gb kwa 5,000 nako huko nikakutana na balaa lile lile
Kwa kifupi naona kumechafuka kote, sio Tigo, vodacom wala TTCL, Halotel nako hakukamatiki kama Zantel.
Hebu tupeane maujanja sana twende wapi na tufanye nini. (Mimi atleast matumizi yangu kwa mwezi 30gb)