Mbona mnaumiza vichwa kuwaza wasiyoyataka watawala na wataalamu wa nchi yetu?! Siku hizi kipeumbele ni siasa kwanza, na kama unaona nadanganya niambie zile habari za kilimokwana wapi au bigresult now!
Unawaza na kuzungumzia mbali huko wakati kenyan sh. 5000 ni sawa na tz sh. 100000+,siasa na kukomoana tu tunaweza, ajira zimebaki za wateule tu, viwanda tunaambiwa vimeongezeka kumbe vya mikate! Unategemea ukauze mkate marekani au??! Mabadiliko kweli tuliyaomba lakini siyo haya ya kukomoana, tulitaka ya uchumi, means ajira, viwanda na biashara super.